Baba Amuua Mwanae Kwa Sumu na Kisha Kumfukia Porini
Jeshi la Polisi linamshikilia Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Isitu Wilayani Mbarali, Geofrey Emilio Mwanganga(21) kwa kumuua mtoto wake, Prince Geofrey Emilio(5)
Mtuhumiwa anadaiwa kumuua mwanae kwa kumnywesha sumu (haijafahamika aina yake) na kisha kwenda kumfukia porini
Mtuhumiwa anadaiwa kumuua mwanae kwa kumnywesha sumu (haijafahamika aina yake) na kisha kwenda kumfukia porini
Comments
Post a Comment