Baba Amuua Mwanae Kwa Sumu na Kisha Kumfukia Porini


Jeshi la Polisi linamshikilia Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Isitu Wilayani Mbarali, Geofrey Emilio Mwanganga(21) kwa kumuua mtoto wake, Prince Geofrey Emilio(5)

Mtuhumiwa anadaiwa kumuua mwanae kwa kumnywesha sumu (haijafahamika aina yake) na kisha kwenda kumfukia porini

Comments